JESHI LA POLISI LATOA TAHADHARI KWENYE MSIMU HUU WA PASAKA.
Jashi la polisi nchini limetoa tahadhari kwa wananchi kuelekea msimu huu wa Sikuu ya Pasaka kuhusiana na suala zima la ulinzi na usalama wa mali zao huku likisema kuwa kuna baadhi ya watu hutumia sikukuu hizi kufanya vitendo vya uhalifu hasa wizi wa kutumia silaha, wizi wa magari, utapeli na vitendo vingine.
Taarifa ndiyo hii hapa chini


Hakuna maoni:
Chapisha Maoni